Facebook Comments Box

Monday, August 18, 2014

TETESI:JAJI LEWIS MAKAME AFARIKI DUNIA

Kuna taarifa ambazo bado hazijathibitishwa kuwa aliekuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi (NEC) Jaji mstaafu Lewis Makame amefariki dunia katika hospital ya AMI masaki alipokuwa amelazwa.
Jaji Lewis Makame

Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Lewis Makame aliyelazwa katika hospital ya AMI iliyoko Mikocheni jijini Dar es salaam



 CHANZO: JAMII FORUM


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU