Facebook Comments Box

Thursday, November 8, 2012

AZAM YASIMAMISHA WACHEZAJI BAADA YA KIPIGO CHA SIMBA

Azam imeonekana kuingia katika mgogoro na wachezaji wake mahiri kwa madai kuwa walipewa pesa ili kuihujumu timu yao ili ifungwe na simba. Timu hiyo ilifungwa 3 kwa 1 na simba. Wachezaji walio simamishwa ili kupisha uchunguzi ni 1. Erasto Nyoni 2. Said Moradi 3. Deograatius Munishi a.k.a Dida

MAHAKAMA KUU YATOA UAMUZI KESI YA LEMA

IMG-20121108-WA0007
IMG-20121108-WA0006
Baadhi ya wananchi, wapenzi wa Chadema wakimlaki Mh Lema mara baada ya kuwasili katika viwanja vya mahakama.
IMG-20121108-WA0004
Jopo la Majaji likiwa tayari kuanza kazi
IMG-20121108-WA0003Kutoka kushoto, Henry Kileo, Nuru Ndosi na Mh Godbless Lema
IMG-20121108-WA0002Henry Kileo akiwa ndani ya ukumbi wa Mahakama Kuu, Dar es Salaam
IMG-20121108-WA0005Katibu wa Chadema Kanda ya Kinondoni, Henry Kileo (kushoto) akibadilishana mawazo na mdau wa Chadema mara baada ya kuwasili viwanja vya Mahakama Kuu
IMG-20121108-WA0008
IMG-20121108-WA0009
Wananchi na viongozi wakiingia kuandikisha chumba cha mapokezi katika Ofisi ya Chadema Kinondoni, Dar es Salaam.
IMG-20121108-WA0010Picha tatu za mwisho, baada ya shauri kuamuliwa, Mh Lema akiwashukuru wananchi waliojitokeza katika ya ofisi ya Chadema  Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Pingamizi lililowekwa na upande wa wajibu rufani kupitia Wakili wao Alute Mughwai  ili rufaa ya Lema kupinga kuvuliwa ubunge isisikilizwe limetupiliwa mbali na Mahakama ya Rufaa baada ya kuridhika kwamba kosoro zilizolalamikiwa zilikuwa kwa upande wa Mahakama.
Pia kifungu kilichomhukumu Lema kina makosa hivyo kesi itatajwa tena baada ya siku 14 kwa ajili ya kuendelea kusikiliza hoja za walio kata rufaa.



Wadaiwa kwenye shauri hilo ni wanachama watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Mkanga, Agness Mollel na Happy Kivuyo, waliofungua shauri lililotengua ubunge wa Lema wakidai kuwa wakati wa kampeni alimdhalilisha mgombea wa CCM, Dk. Batilda Burian kwa kutumia lugha za matu
Lema anawakilishwa na Wakili Method Kimomogoro, anayesaidiana na Tindu Lissu.


HATIMAYE DIRECTOR WA FILAMU YA KUMKASHIFU MTUME AHUKUMIWA

.
The man behind an anti-Muslim film that led to violence in the Middle East has been sentenced to one year in prison.
Mark Basseley Youssef, 55, was sentenced on Wednesday for violating probation stemming from a 2010 bank fraud conviction.
US District Court Judge Christina Snyder handed down the sentence after Youssef admitted four of eight alleged violations including obtaining a fraudulent California driver’s licence.
Youssef served most of a 21-month prison term in the bank fraud case. Federal authorities wanted Youssef to serve two years for the violations.
After he was released from prison, Youssef was barred from using computers or the Internet for five years without approval from his probation officer.
None of the violations had to do with the content of “Innocence of Muslims,” a film that depicts Mohammad as a religious fraud, pedophile and a womaniser.
The movie sparked violence in Libya and other parts of the Middle East, killing dozens. Enraged Muslims had demanded severe punishment for him, with a Pakistani cabinet minister even offering $100,000 to anyone who kills him.
Federal authorities have said they believe Youssef is responsible for the film, but they have not said whether he was the person who posted it online.
He also was not supposed to use any name other than his true legal name without the prior written approval of his probation officer.
At least three names have been associated with Youssef since the film trailer surfaced – Sam Bacile, Nakoula Basseley Nakoula and Youssef. Bacile was the name attached to the YouTube account that posted the video.
Court documents show Youssef legally changed his name from Nakoula in 2002, though when he was tried, he identified himself as Nakoula. He wanted the name change because he believed Nakoula sounded like a girl’s name, according to court documents.

 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU