Facebook Comments Box

Monday, August 5, 2013

JAKAYA AFTURU NA WASANII WA BONGO FLEVA IKULU

 
 Rais Kikwete akiwa na Msanii wa Filamu na  Bongofleva, Hemed Suleiman.
 Rais Kikwete akiwa na mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM,TV,Mbwiga wa Mbwiguke.
 Rais Kikwete akiwa na Gwamaka Kaihula a.k.a King Crazy G K.
 Rais Kikwete akiwa na Zuwena Mohamed a.k.a. Shilole.
Rais Kikwete akiwa  na Wasanii wa Bongofleva,Ally Kiba na mdogo wake Abdull Kiba.
 
Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa muziki wa Bongofleva mara baada ya kufturu. Snura,Keisha,Mwasiti,aliyechuchumaa ni Shilole,Dj Fetty ,Mwanahawa Abdul a.k.a Quee Doreen.




 Rais Kikwete akiwa na maproducer P Funk na Lamar
 Rais Kikwete na Mwana FA

 Rais Kikwete na mzee wa Hakunaga Suma Lee
 Rais Kikwete na Ferouz
 Rais Kikwete na Ambwene Yesaya AY
 Rais Kikwete na TID
 Rais Kikwete na Cassim Mganga
 Rais Kikwete na Inspector Haroun
 Rais Kikwete na Chegge
 Rais Kikwete na Mchizi Mox
 Rais Kikwete na Linex
SOURCE:MICHUZI




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU