Facebook Comments Box

Tuesday, July 8, 2014

BOMU LALIPUKA ARUSHA NA KUUWA NA KUJERUHI

Taarifa zilizotufikia za kusikitisha zinasema kwamba kumetokea mauwaji katika mgahawa wa Wama ulioko Gymkhana jijini Arusha (Pichani chini). Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo na kusababisha watu zaidi ya 8 kujeruhiwa vibaya, idadi ya waliopoteza maisha bado haijajulikana, majeruhi wote wamepelekwa katika hospitali ya Seliani jijini Arusha.




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU