Facebook Comments Box

Saturday, July 12, 2014

AJALI ENEO LA UBUNGO MATAA MUDA HUU

Gari la mchanga lililokuwa likitokea maeneo ya kimara limemshinda dereva wakati wa kukata kona kutoka barabara ya Morogoro kuingia barabara ya Mandela hapa eneo la Ubungo. Hakuna mtu aliye fariki bali ni majeraha machache kwa dereva.




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU