Facebook Comments Box

Sunday, February 9, 2014

DAR YOUNG AFRICANS YAWACHAPA VIBONDE KOMOROZINE BAO 7 KWA 0

Hamis Kiiza hapa anaonekana akifunga bao la nne katika saba walizoshinda hapo jana.

Picha zaidi zitakujia baadae.



KIPIGO CHA BAO 5 KWA 1 ILICHOPATA ARSENAL CHAMCHANGANYA WENGER ADONDOKA CHINI

Timu ya Arsenal ilipata kipigo cha bao 5 kwa moja kutoka kwa Liverpool ndani ya Anfield jana Jumamosi baada ya timu hizo kukutana katika ligi kuu ya England. 

Wenyeji walikuwa wa kwanza kujipatia bao la kuongoza katika dakika ya kwanza tu ya mchezo huo kupitia kwa Beki wake SKRTEL ambaye aliifungia tena timu yake dakika ya 10 ya mchezo. Wafungaji wa mabao mengine ni STERLING dakika ya 15 na 52, STURRIDGE dakika ya 20.

Chelsea nao waliwachapa Newcasle bao 3 kwa 0, wakati Man City wakilazimishwa sare ya 0-0 na Norwich na kufanya Msimamo wa ligi hiyo kubadilika na kuwa Chelsea nafasi ya Kwanza, Arsenal ni yapili, Man City ya tatu na Liverpool imebaki katika nafasi yake ya nne pamoja na ushindi wake huo mnono.




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU