Facebook Comments Box

Thursday, August 8, 2013

KIBONZO CHA IDD: UPENDO KWA UMMAH




PICHA: WAUMINI WA KIISLAM WAKISALI SALA YA IDD LEO


Shk Wazir Maduga akitoa khutba ya Idd Al Fitr kwa maelfu ya waumini wa dini ya kiislamu mkoani Morogoro katika viwanja vya The Islamic Foundation.



TV Imaan ilikuwepo kuchukua tukio hilo na kuhoji waumini katika siku hii ya furaha

Tv Imaan ikimuhoji Sheikh

Mwenyekiti wa Islamic Foundation Br Arif Nahdi akisali Pamoja na waumini wengine kulia ni Ahmed Bawazir

Baadhi ya waumini waliyohudhuria katika Sala ya iddy.
ENEO: MWEMBE YANGA - TEMEKE, DAR ES SALAAM.
MUDA: 08.08.2013, (8:15 am)
Baadhi ya waumini waliyohudhuria katika Sala ya iddy.
ENEO: MWEMBE YANGA - TEMEKE, DAR ES SALAAM.
MUDA: 08.08.2013, (8:15 am)


SALAAM ZA IDD AL-FITWR

Assalaamu 'Alaykum wa RahmatuLLaah wa Barakaatuh,
Tunapenda kuwaarifu kuonekana kwa mwezi mpya wa Shawwaal leo hii Jumatano (07 Agusti 2013M). Kwa hiyo, kesho Alkhamiys In Shaa Allaah ni tarehe 1 Shawwaal 1434H (08 Agusti 2013M) na ndio Siku kuu yetu ya ‘Iydul-Fitwr.
Kwa Munaasabah huu wa ‘Iyd Al-Fitwr tunapenda kuchukua fursa hii kuwasilisha salaam zetu za siku hii na du'aa njema kwenu wote, tukimuomba Allaah (Subhaanahu Wa Ta'ala) Atutaqabalie 'amali zetu na zenu ‘TAQABBALA ALLAAHU MINNAA WA MINKUM’ (Hivi ndivyo Maswahaba watukufu walivyokuwa wakiambiana pindi wanapokutana katika siku ya 'Iyd). Na tunamuomba Yeye Aliyetukuka na Mweza, Awajaalie furaha, amani, mapenzi, siha na Iymaan pamoja na karama na utukufu katika masiku yote ya uhai wetu.
Mwisho, bila kuwasahau wenzetu katika du'aa zetu Waislam wote waliopo kwenye dhiki, vita, ukandamizwaji, njaa, maradhi na wanaodhulumiwa pote duniani. Tukimuomba Allaah (Subhaanahu wa ‘Ta’ala) Awakwamue na kuwapa faraja na nusra.
Tunamuomba Allaah (Subhaanahu Wa Ta'ala) Atutakabalie du'aa zetu na za Waislam wote duniani, Aamiyn
Tafadhali bonyeza kwenye picha ifuatayo upate Takbiyrah ya 'Iyd
 
 


MAWAIDHA: KHITLAFU ZA MWANDAMO WA MWEZI NA MISIMAMO YA WANA ZUONI




JESHI LAKABIDHIWA MAGARI 591 NA SERIKALI YA INDIA

SERIKALI YA INDIA IMEKABIDHI MAGARI 591 KWA JESHI LA ULINZI MAGARI HAYO YALIKABIDHIWA LEO



MKUU WA JESHI LA ULINZI DAVIS MWAMUNYANGE AKISALIMIANA NA WAGENI



MKUU WA JESHI LA ULINZI DAVIS MWAMUNYANGE AKISALIMIANA NA WANAJESHI


BAADHI YA VIONGOZI WA JESHI LA WALIOHUDHURIA
WAZIRI AKISALIMIANA NA WANAJESHI
WAZIRI AKISALIMIANA NA WAGENI
WAZIRI AKISALIMIANA NA WAGENI
BRASS BANDI
KIKUNDI CHA SANAA CHA JKT MGULANI WAKIONYESHA UMAHILI WAO WA KUCHEZA NGOMA YA MSEWE
WAZIRI WA ULINZI SHASI VUAI AKISOMA HUTUBA YAKE


BALOZI WA INDIA DEBNATH SHAW AKIMKABIDHI WAZIRI WA ULINZI FUNGUO
WAZIRI WA ULINZI AKIWA KWENYE MOJA YA GARI LA JESHI MARA BAADA YA MAKABIDHIANO
WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA SHASI VUAI NA BALOZI WA INDIA WAKIONDOKA 
PICHA YA PAMOJA
WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA SHASI VUAI NA BALOZI WA INDIA WAKIONDOKA
BRASS BAND WAKITUMBUIZA


WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA SHASI VUAI AKIAGANA BALOZI WA INDIA NCHIN DEBNATH SHAW CHANZO AUDIFACE BLOG


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU