Facebook Comments Box

Monday, November 18, 2013

KIBONZO: JINA LINAPO KUKOSESHA MKOPO



HII NDIO HOTELI YA PEMBA YENYE VYUMBA NDANI YA BAHARI

Hoteli inaitwa The Manta Resort ipo katika kisiwa cha Pemba. Ni hoteli iliyotengenezwa na kampuni ya ki swideni. Hoteli hiI imechukua muda kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. ikielezwa kuwa ni hoteli ya kifahari yenye vyumba chini ya bahari. kulala ndani kwa watu wawili ni dola za kimarekani 1500 na kwa mtu mmoja ni dola za kimarekani 900.






PICHA ZA DIAMOND AKIHUDHURIA HARUSI YA PETER WA P SQUARE

Diamond akiwa na bwana harusi Peter wa P Square. Diamond alikuwa huko Lagos Nigeria katika utengenezaji wa wimbo wake mpya wa My Number one remox alio mshirikisha Davido.

Diamond akiwa na Adebayo

Diamond akiwa na Iyanya

Adebayo akiwa na bwana harusi



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU