Facebook Comments Box

Sunday, March 8, 2015

RAISI KIKWETE AREJEA NCHINI BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA NCHINI RWANDA

   Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Bw. Paul Makonda baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam akitokea nchini Rwanda alikokwenda kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, na aliyekatikati ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi Sophia Mjema



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU