Facebook Comments Box

Tuesday, October 29, 2013

MTOTO WA DARASA LA SITA APOOZA MIGUU MARA BAADA YA KUCHAPWA FIMBO NA MWALIMU WAKE

Mtoto Ismail
Godfrey akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar.
MWANAFUNZI wa darasa la sita, Ismail Godfrey (13)
anayesoma katika Shule ya Msingi Maendeleo Sinuka iliyopo
mkoani Kigoma amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya
kudai kutandikwa viboko na Mwalimu Muige Joseph na
kupooza miguu.
Mtoto huyo ambaye kwa sasa anapata matibabu katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kukosa
matibabu ya kina mkoani Kigoma alipokutana na mwandishi
wetu alikuwa na haya ya kusema:
“Awali sikuwa na matatizo yoyote ya kiafya hususan katika
viungo vya mwili, isipokuwa haya yalinipata baada ya
kuchapwa fimbo na mwalimu wangu ndipo nikapooza ghafla.



KING'AMUZI CHA AZAM

Hiki ndio king'amuzi cha Azam ambacho kwa shilingi elfu 95 za kitanzania utakipata pamoja na dishi lake na huduma ya kufungiwa nyumbani kwako.
 Ukifungiwa king'amuzi hiki utapata chaneli 35 bure na ukilipia 12, 500 utapata chaneli zaidi ya 50.
 Azam Tv itaanza kurusha matangazo yake katikati ya mwezi wa novemba.








 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU