Facebook Comments Box

Monday, May 5, 2014

MAELFU NA KIONGOZI WA SERIKALI WAMZIKA SHEIKH ILUNGA.

Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif akikaribishwa katika msikiti wa kichangani
Maelfu ya waumini wa dini ya kiislam akiwemo makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif wamehudhuria mazishi ya mwanaharakati na mpiganiaji haki wa kiislam Ustaadh Ilunga Hassan Kapungu.
Chini ni gari la Maalim Seif likiingia viwanja vya msikiti wa kichangani magomeni Dar es salaam

waumini wakizika mwili wa sheikh Ilunga Hassan Kapungu
Jeneza lililombeba sheikh Ilunga likiingizwa msikitini kwa ajili ya Sala ya mwisho


HUU NDIO MSHAHARA WA SENETA MIKE SONKO.



USTAADH ILUNGA HASSAN KAPUNGU AFARIKI DUNIA

Nchi ya Tanzania imezizima kwa huzuni baada ya mwanaharakati wa kiislam Ustaadh Ilunga Hassan Kapungu kuaga dunia jana kwenye saa tano usiku.

Mwili wa marehemu utaswaliwa leo Alasir katika msikiti wa kichangani magomeni. Mwili utazikwa kwenye makuburi ya Mwinyi mkuu

Inna lilayh wa inna ilayhi rajiuun.

Allahuma ghfirlahu warhamhu waskanahu filjannah




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU