Facebook Comments Box

Sunday, June 8, 2014

MZEE SMALL AFARIKI DUNIA

Mzee Small amefariki dunia usiku huu katika hospital ya taifa ya muhimbili aliko pelekwa baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa shinikizo la damu mtoto wa marehemu anaeitwa Muhidin amethibitisha.

Inna lilahi wa inna ilayhi rajiuun.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU