Facebook Comments Box

Sunday, April 13, 2014

TANZIA:MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA

Yule gwiji wa uimbaji ambae alistaafu kuimba hivi karibuni amefariki dunia leo saa saba.
Allah amrehemu na amuwepesishie mazito
Msiba upo nyumbani kwake mabibo makuburi.



BREAKING NEWS: HELKOPTA ILIYO DONDOKA LEO ILIMBEBA MAKAMU WA RAIS,KOVA NA MKUU WA MKOA

Ile helkopta iliyo dondoka leo Jijini Dar es salaam ilikuwa imewabeba Makamu wa raisna kamanda Kova na mkuu wa mkoa Said Meck Sadiq kwa ajili ya kukagua maeneo yaliyo pata mafuriko.
Ila wote wamesalimika na wazima wa afya. Ajali hiyo haijaacha athari kubwa kwao kwasasa wanatakiwa majeruhi yao hospitali.



PICHA: AMKATA MWANAE NA MAPANGA BAADA YA KUVUNJA TREI YA MAYAI

Baba ameamua kumkata mwanae na mapanga kichwani na sehemu nyingine za mwili baada ya mtoto huyo kuvunja trei ya mayai.
Tunaomba radhi kwa picha.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU