Facebook Comments Box

Thursday, August 28, 2014

RAIS KIKWETE AZINDUA PROGRAMU YA UIMARISHAJI MIPAKA YA KIMATAIFA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakiangalia moja ya alama katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakiangalia moja ya alama katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka. (picha hii na zote zinazofuata ni kutoka Ikulu)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakiangalia moja ya alama katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakitembelea eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakitembelea eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakiangalia moja ya alama katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakipata maelezo na kuangalia vifaa vya upimaji eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakizindua kwa pamoja eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakizindua kwa pamoja eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakizindua kwa pamoja eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakipongezana kwa furaha katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakichanganjya udongo na kujenga kwa pamoja alama katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakichanganjya udongo na kujenga kwa pamoja alama katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi na wananchi wa nchi zao wakisimama wakati nyimbo za Taifa za Burundi na Tanzania zikipigwa katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakijipatia chakula cha mchana katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014. 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakiagana katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.





VIDEO: HIGHLIGHTS - ARSANAL vs BESIKTAS 1-0



VIDEO: VICTORIA KIMANI FT DIAMOND AND OMMY DIMPOZ - PROTOKO



MAGAZETI YA LEO: TAREHE 28/08/2014 ALHAMISI













ASKARI WAWILI MBARONI KWA KUJERUHI

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela

--------------------------------------------------
Na Nathan Mtega wa demashonews,Songea

JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia askari wake wawili
kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga risasi mwendesha piki piki
aliyejulikana kwa jina la Salgo Ndunguru(22) mkazi wa Ruvuma
mjini Songea.
Akizungumza kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo
Msekhela amesema tukio hilo limetokea Agosti 26 mwaka huu
majira ya saa 12 jioni katika mtaa wa Mfaranyaki mjini Songea
ambapo askari polisi wawili PC Waziri mwenye namba G 5075 na
PC Ayoub mwenye namba G 9800 wakiwa doria na piki piki ya
polisi yenye namba za usajili PT 1250 CR aina ya Yamaha CC 250
katika eneo hilo la Kombezi walimjeruhi mwendesha piki piki huyo
kwa kumpiga risasi.
Amesema mwendesha piki piki huyo alijeruhiwa kwa kupigwa risasi
na askari PC Waziri katika harakati za kuinsuru silaha hiyo
iliyokuwa imebebwa na askari mwenzake PC Ayoub ambaye
alizingirwa na baadhi ya waendesha piki piki wakiongozwa na
mwendesha piki piki aliyejulikans kwa jina moja la Agrey ambaye
alidai kuwa yeye ndiye mmiliki wa piki piki iliyokamatwa na askari
hao ikiwa imebeba mzigo wa majiko.
Ameitaja piki piki iliyokuwa ikiendeshwa na majeruhi huyo kuwa ni
aina ya San Lug yenye namba za usajili T 757 CUD ambapo baada
ya mwendesha piki piki huyo kukamtwa alimpigia simu mdhamini
wake Agrey alipofika alisababisha mkusanyiko mkubwa wa
waendesha piki piki maarufu kama Yebo yebo ambao walianza
kuwarushia mawe askari hao huku majeruhi akiwa ameshika mtutu
wa bunduki iliyokuwa imebebwa na askari PC Ayoub ndipo askari
PC Waziri katika kuinusuru silaha isiporwe alimpiga risasi majeruhi
kwenye kiganja cha mkono wa kushoto na risasi hiyo kumjeruhi
sehemu mbili ambazo ni kiganja cha mkono wa kushoto na paja la
mguu wa kushoto.
Amesema majeruhi amelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa
Ruvuma iliyopo mjini Songea kwa matibabu na hali yake inaendelea
vizuri na katika vurugu hizo zilizodumu kwa muda wa nusu saa
kabla ya kutulizwa na kikundi cha askari maalumu kilichowahi na
kutuliza vurugu hizo kwa kutumia nguvu kidogo hali ikarejea kuwa
shwari na hakuna madhara zaidi yaliyojitokeza.
Aidha kamanda Msikhela amesema uchunguzi zaidi kuhusiana na
tukio hilo unaendelea ili kubaini chanzo halisi cha tukio hilo
unaendelea na hatua zitachukuliwa dhidi ya wahusika
watakaothibitika na ametoa wito kwa waendesha piki piki kuacha
tabia ya kushabikia vurugu ambazo hazina tija na kuwa chanzo cha
kusababisha migogoro isiyokuwa na maana na kusababisha
madhara kwa jamii.
Amewataka waendesha piki piki kufuata taratibu zilizopo ikiwa ni
pamoja na kuwasilisha malalamiko yao kwa viongozi husika kwa
kupitia viongozi wao ili yaweze kufanyiwa kazi amewataka
wananchi mkoani Ruvuma kuwa watulivu na kuendelea na shughuli
zao bila hofu yoyote kwani jeshi la polisi liko imara kulinda mali na
maisha yao.
Mwisho.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU