Raia wa Msumbiji walipiga kura kumchagua rais 
mpya na vile vile wabunge. Chama cha Frelimo, ambacho kimeiongoza nchi 
hiyo tangu ilipojinyakulia uhuru mwaka 1975, kimeshindana na chama cha 
upinzani, Renamo.
Saturday, October 18, 2014
Subscribe to:
Comments (Atom)


