Facebook Comments Box

Friday, January 30, 2015

AMCHINJA MPENZIWE NA KUMUUA MANZESE DAR ES SALAAM

Kijana mmoja ambaye jina lake halijapatikana alikamatwa na Polisi jana jioni(Alhamisi) katika maeneo ya Manzese baada ya kumchinja mpenzi wake mpaka kufa kwa kile kinacho dhaniwa kuwa ni wivu wa kimapenzi, Kijana huyo nae alijaribu kujiua kwa kutumia kisu hicho bila mafanikio.
Jionee picha za tukio hilo hapo chini:
 Mtuhumiwa wa tukio hilo ambaye Jina lake bado halijapatikana.
Mwili wa Binti anaedaiwa kuchinjwa na mpenzi wake huyo ukitolewa eneo la tukio maeneo ya Friends Corner-Manzese jana(Alhamisi) jioni.


MAGAZETI YA LEO ALHAMIS TAREHE 29 JAN 2015




























 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU