Facebook Comments Box

Thursday, November 21, 2013

MAHAKAMA YAMUHUKUMU KWA KOSA LA KUZAA MTOTO MWENYE SURA MBAYA.

Jian Feng amemshitaki mkewe kwa kumzalia binti mwenye sura mbaya. Mwanaume huyo aliiambia mahakama kuwa alimuoa mkewe kwa mapenzi ya dhati na waliishi kwa amani muda wote lakini matatizo yalianza baada ya mtoto huyo kuzaliwa.

Aliambia mahakama kuwa ilibidi afanye hadi kipimo cha DNA ili kuhakikisha kuwa mtoto huyo ni wake na vipimo vilitoa majibu ya kuwa ni wake.

Mwanamke huyo aliiambia mahakama kuwa kabla ya kukutana na mmewe huyo alifanyiwa upasuaji uliomgharimu zaidi ya fedha za kimarekani $ 100, 000 (laki moja) katika nchi ya Korea ya kusini ili kuupata urembo huo ulio mvutia mwanaume huyo.

Mahakama ili kuamuru mwanamke amlipe mwanaume fedha za kimarekani $ 120, 000 (laki moja na elfu ishirini) kwa kumzalia binti huyo mwenye sura mbaya





HII NDIO HUKUMU YA BABU SEYA

Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha imewarejesha jela maisha baada ya hoja za serikali za kukazia hukumu kuzidi zile za upande wa utetezi.Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar ambapo wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wanagonga mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.


KIBONZO: KIPANYA NA MGOMO WA WAFANYA BIASHARA



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU