Facebook Comments Box

Saturday, July 20, 2013

MKUTANO MKUU WA SIMBA WAFANYIKA KWA UTULIVU NA AMANI HUKU RAGE AKIZINDUA MKAKATI MPYA WA MAENDELEO WA SIMBA

Mkutano mkuu wa klabu ya Simba umefanyika leo kwenye Bwalo la Polisi, Osteybay Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama wapatao mia saba ulifanyika kwa saa moja kuanzia saa nne mpaka saa tano kamili asubuhi. Mkutano huo ulizungumzia mambo mengi ikiwemo Taarifa ya matumizi ya fedha za klabu, Suala la ujenzi wa uwanja wa Simba pamoja na kuzinduliwa kwa mkakati mpya wa maendeleo ya Simba.
Ibrahim Masoud Maestro na Mwenyekiti wa kamati ya usajili Zakaria Hans Pope

Mwenyekiti aliyepita wa Simba Hassan Dalali alikuwa mmoja wa walio hudhuria.

Wanachama


Katibu Mkuu wa Simba Mtawala












KAPTULA NA FULANA YAKE ZOTE CHADEMA NA NDIO MAVAZI YAKE

Picture
SOURSE: WAVUTI

VIDEO: MZEE WA MIAKA 40 AKUTWA AKIMNAJISI KUKU




VIDEO: KIJANA AKUTWA AKITOA HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA MADAKTARI BINGWA KWENYE ZAHANATI

Kijana mmoja amekutwa akitoa huduma za tiba zinazotolewa na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake katika zahanati bubu maarufu kwa jina la kwa Docta Kondoliza eneo la Mji mpya Majohe




KIBONZO: KIPANYA LEO KUHUSU KOZI YA SIMU

Picture


CALL FOR INTERVIEW - MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE

Ministry of Health and Social Welfare is hereby announcing the names of applicants who have been selected to appear for an interview for the post of laboratory technologist.

The interview will be conducted at National Blood Transfusion Services (NTBS) head office at Ilala-Mchikichini opposite Msimbazi Centre on 27thJuly, 2013 starting from 9.00 am.

The interviewees should appear with all Academic and professional credentials (original certificates). The cost regarding to travel, accommodation and meals should be incurred by the candidates themselves.


S/NO NAME SEX TELEPHONE NUMBER
1 MAYALLA WILLIAM M TEL 0712 063564/ 0786 015066
2 MATHAYO MBUYA M TEL 0768 229280/ 0656 264844
3 HASSAN O. MBEGA M TEL 0756 877175/ 0787 877175
4 DAVID ENOCK M TEL 0762 742232
5 TOGOLANI G. MAYA F TEL 0714 640074
6 SUZANA D. MBOTO F TEL 0787 576771
7 SHABANI R. MZIRAY M TEL 0754 942946/ 0713 992143
8 HUSSEIN ATHUMAN M TEL 0655 866606

ACTING PERMANENT SECRETARY
MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE
P.O.BOX 9083
DAR ES SALAAM


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU