Facebook Comments Box

Wednesday, May 21, 2014

MAMA AMFUNGIA MTOTO KWENYE BOX MIAKA MINNE

Mtoto huyu ana miaka minne alikuwa amefungiwa ndani tangu akiwa na miezi mitatu na  mama yake mdogo, mama yake mzazi alifariki Kwa kipindi chote hicho alikuwa anamfungia kwenye box anamtupia chakula humohumo Mara ya mwisho kumuogesha ilikuwa mwaka jana mwezi wa tisa
Alikuwa anajinyea na kujikojolea hiyo rangi nyeusi ni taka hajawahi kukatwa kucha wala nywele.
Amepata ulemavu wa mikono na miguu Kwa sababu ya kukaa kwenye box. Inadaiwa mama wa Mtoto huyo alikufa Kwa ugonjwa unao ambukiza ndio maana huyo mama yake mdogo alikuwa anaogopa kuambukizwa.
Hajawahi kupewa chanjo yoyote tangu azaliwe




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU