Facebook Comments Box

Sunday, September 16, 2012

CHAMA CHA MAPINDUZI CHA SHINDA UBUNGE JIMBO LA BUBUBU

Matokeo ya kura za Ubunge jimbo la Bububu







Chama Mgombea Ubunge Kura %

1
CCMMasolwa Masolwa COSMAS 5,29656.3%
2
CUFSoud Khamis RASHID 3,80440.4%
3
JAHAZIIdrissa Mohammed ALI 550.58%
4
SAURashid Ali ALI 170.18%
5
TADEASalum Seif SEIF 160.17%
6
UPDPSaid Ahmad ASHA 120.12%
7
PPTOmar Said AYOUB 90.09%


ZILIZOHARIBIKA1952.07%


Jumla9,404








BREAKING NEWSS! STEVE NYERERE APATA PIGO.

Msanii wa maigizo na mchekeshaji mkongwe kutoka Bongo Movie Steve Mengele maarufu kama Steve Nyerere amepata pigo la kufiwa na mtoto wake leo hii maeneo ya kinondoni, kwa sasa Steve yupo kwenye ziara ya Tamasha la  Serengeti fiesta 2012.



CLOUDS MEDIA NA WASANII WA BONGO FLEVA NA BONGO MOVIES WATOA MSAADA DODOMA

Picha ya pamoja ya uongozi wa Clouds Media na Wasanii wa Bongo Fleva na Wasanii wa Bongo movies wakiwa pamoja na Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini na watoto wa kituo cha The Village of Hope pamoja na walezi wao cha Mkoa wa Dodoma
Msanii Diamond akiwasalimia watoto wa kituo hicho pamoja na kuwaimbisha nyimbo zake
Father Vicent Boselli akitoa maelezo ya kituo hicho kwa wasanii na viongozi wa Clouds Media


Baadhi ya walezi wakiwa wamebeba watoto wa kituo hicho

Anti Ezekiel akijitambulisha huku akiwa amembeba mmoja ya watoto wanaolelewa na kituo hicho

Wasanii Juma Nature na Shettah wakisalimia watoto wa kituo hicho

Hapa wakikabidhi misaada mbalimbali


Baadhi ya wanafunzi wa kujitolea kutoka maeneo mbalimbali duniani wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wa kituo hicho

Misaada akiingizwa ndani



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU