Facebook Comments Box

Saturday, July 26, 2014

MAJINA 70 YA WALIOPATA AJIRA YA UHAMIAJI

MAJINA 70 YA WALIOPATA AJIRA
YA MKAGUZI MSAIDIZI WA
UHAMIAJI.

TANGAZO KUITWA KWENYE AJIRA
NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI WA
UHAMIAJI (ASSISTANT INSPECTOR OF
IMMIGRATION)

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, anawatangazia wafuatao
waliofaulu usaili wa kujaza nafasi ya
Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji
(Assistant Inspector of Immigration)
wanatakiwa kuripoti Makao Makuu ya
Idara ya Uhamiaji, Mtaa wa Loliondo
Kurasini, Dar es Salaam tarehe 29 Julai
2014, saa 2:00 asubuhi. Aidha,
wahusika wote wanaelekezwa kufika
kwa wakati wakiwa na vyeti halisi vya
masomo na vya kuzaliwa.
Na
1 Abel Md. Maganya
2.Absolum Stafford Bashigwa
3 Agnes P. Mlay
4 Ali Musa Abdallah
5 Angela Kagaruki
6 Antony J. Nyagilo
7 Asteria Kiyanga
8 Awadhi Issa
9 Aziza Kaku
10 Bakari M. Khamis
11 Baraka Estomihi
12 Beatrice K. John
13 Bernard K. Mwampashe
14 Binasra J. Sabri
15 Charles M. Swai
16 Cosmas J. Mbuguni
17 Dativa J. Ndyetabura
18 David Muna
19 Doroth Ngai
20 Dotto Tabu
21 Emmanuel Gelison
22 Ezekiel A. Kibona
23 Fahamu Saidi
24 Farida Sued
25 Felix Mkemwa
26 Forget N. Charles
27 Frida N.Masomhe
28Gabriel M. Kamugisha
29 Gath E. Nyansambo
30 Gerald Moses
31 Gideon Kihoko
32 Godson Mwanawima
33 Grace C. Nyarata
34 Hamza Sanga
35 Hassan A. Mziray
36 Ibrahim Ally
37 Idd Mgoi
38 Joachim Joseph
39 John G. Mgayambasa
40 Joseph Gregory
41 Kennedy John
42 Khamis Moh'd Khamis
43 Kombo M. Ame
44 Kwame Charles
45 Lawi E. Kumburu
46 Mabrouk H. Thabit
47 Mangunda A. Kaporo
48 Marco Zacharia
49 Maria Agapith
50 Mateso Msigala
51 Meshack Mwaisela
52 Michael John
53 Miriam Mwakamele
54 Mlalama Fortinatus Amlima
55 Mussa Hemedi
56 Mwita Mwikwabe
57 Neema R. Mrope
58 Nyangoma Martin
59 Oscar Philip
60 Pasaka Wilson
61Pastory Packshard Mkongwa
62 Reagan H. Kawa
63 Rose Nseka
64 Senga Ally
65 Silvia Ngasoma
66 Sixtus Stephano Burashahu
67 Steven L. Kweka
68 Wendy Y. Mwalukasa
69 Witness Lwambo
70 Zulu P. Charles
Aidha, ni muhimu kufahamu kuwa
uchaguzi wa walioitwa kwenye ajira
umezingatia yafuatayo:
• Vipaumbele vya Idara ya Uhamiaji;
• Kutoa nafasi kwa waombaji kutoka
Zanzibar;
• Ufaulu kuanzia alama 50 asilimia na
kuendelea;
• Jinsia
Wasailiwa ambao majina yao hayamo
kwenye orodha hii wafahamu kuwa
hawakufanikiwa.
Atakayesoma tangazo hili amjulishe na

mwenzake.
Tangazo hili limetolewa na:
Katibu Mkuu
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
4 Mtaa wa Ohio
11483 Dar es Salaam



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU