Facebook Comments Box

Monday, September 15, 2014

PICHA: TRAFIKI AGONGWA NA GARI MBAGALA RANGI TATU


Traffic Agongwa na gari aina DCM leo akiwa kazini  mbagala rangi 3
Baada ya ajali hiyo aliwahishwa Temeke Hospital na baadae kuhamishiwa Muhimbili.
Baada ya kufuatilia kwa ndani zaidi aliepata ajali ni WP 2806 Cpl Riziki, chanzo cha habari kinasema hali yake si mbaya sana.

 Tunaomba radhi kwa picha hapo juu.


SOMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 15 SEPTEMBA 2014 HAPA

1_4bc6e.jpg
04_8e60b.jpg
5_f7e13.jpg  
6_36e93.jpg 
22_d8d3d.jpg 
20_e1f72.jpg
21_6397d.jpg

23_37052.jpg
24_7084d.jpg
25_4d553.jpg
27_17c46.jpg
28_11c75.jpg
29_53dc5.jpg
30_1612b.jpg
32_84f86.jpg


MKOSAMALI AFARIKI DUNIA BAADA YA AJALI YA GARI KUELEKEA KIGOMA


Kwa habari ambazo zimenifikia ni kwamba waziri wa Fedha wa SOSJUT Mkosamali Essau amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kupata ajali ya gari wakiwa njiani kuelekea Kigoma. 

Katika ajali hiyo walikuwemo pia Mbunge Moses Machali, Felix Mkosamali kaka wa Marehemu ila aliyeumia sana ni ndg Essau Mkosamali aliyekuwa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kikuu cha Mt John Dodoma.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU