Facebook Comments Box

Thursday, September 6, 2012

MAITI ZA WATU SABA ZILIZOFUNIKWA NA KIFUSI KATIKA MGODI WA RUANGWA ZAPATIKANA


Maiti za watu saba zilizofunikwa na kifusi katika mgodi wa Ruangwa zimepatikana na majina ya maiti hizo zilizopatikana ni 1.Nyang`anya Mkelecha mkazi wa musoma 2.Muhamed Omar Fundogoro mkazi wa morogoro 3.Bakari Liganga mkazi wa Ruangwa 4. Rajab mkazi wa Musoma 5.Uwesu Bakari Abeid mkazi wa Rondo 6. Chakoda mkazi wa Dar na 7.Rashid Ally maarufu kama Bade mkazi wa masasi

 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU