Facebook Comments Box

Monday, August 18, 2014

ALLY KIBA AFUNGUKA KUHUSU BIFU LAKE NA DIAMOND

Ally Kiba afunguka kuhusu bifu linalosemekana lipo kati yake na Diamond. Akiwa anahojiwa katika kipindi cha mkasi kinachorushwa na runinga ya EATV kila jumatatu saa tatu na nusu ya usiku Ally Kiba alisema japo hajawahi kuwa mshikaji na Diamond, anafurahishwa kwa kazi nzuri ambayo anaifanya. Lakini anakerwa kwa
namna ambavyo watu wanamfananisha na Diamond japokuwa hilo pia halimuumzi.

Haya ni maneno mazuri ya busara na kizalendo yalionesha ukomavu wake katika sanaa. Pia aliongeza kwa kumsifia kwa kupata tuzo marekani na kusema pale inatakiwa tuweke utanzania mbele.




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU