Facebook Comments Box

Sunday, August 10, 2014

PICHA ZA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA ARSENAL NA MAN CITY

Manchester City leo imetoka uwanjani vichwa chini baada ya kupigwa bao tatu kwa bila na Arsenal chini ni picha za matukio ya mechi yote.


Hii ni picha inayo onesha matokeo wafungaji wa magoli na watoaji pasi za mwisho
Uwanja wa Wembley ilipochezwa mechi hiyo

mkongwe wa Arsenal Ian wright akipiga picha "selfie" mbele ya mashabiki wa Arsenal

vicent company na Arsene Wenger


Santi Karzola akifunga goli la kwanza

Ramsey a.k.a Rambo akishangilia goli



Nahodha arteta akimpa pole mchezaji wa Manchester City "No hard feelings"


Mchoro unao onesha goli zuri la Giroud alilofunga leo.

Giroud akishangilia goli

shuti la Giroud lililomshinda kipa wa Manchester City

washabiki wa Arsenal wakishangilia kwa mtindo wa kugeuka nyuma mtindo huu unaitwa kwa jina la Poznan

Washabiki wa Manchester City wakiwa hawaamini walichotendewa


mabingwa ndio hawa

Nahodha Arteta akinyanyua ngao




MAGAZETI YA LEO: 10/08/2014

         

  

 







MKANDARASI AWAWEKA WAKAZI KATIKA HATARI YA KUPATA MAGONJWA

Kamera yetu mtaani leo imekutana na tukio hili la mkandarasi huyu ambae anawaweka wakazi katika hatari ya kupata magonjwa.
Mkandarasi anaetengeneza njia ya lions hotel amewaweka watu katika hatari ya kupata magonjwa baada ya kuchimba barabara na kuacha madimbwi ambayo kwasasa yamejaa maji na kuwa mazalia ya vijidudu vya magonjwa.

Picha chini ni barabara hiyo karibu kabisa na Madrasa ya Yusuf

  




PICHA: EBOLA ILIPO WAFIKISHA WENZETU

Mwananchi akiwa amejikinga na mifuko ya plastiki akisalimiana na mwenzake.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU