Manchester City leo imetoka uwanjani vichwa chini baada ya kupigwa bao tatu kwa bila na Arsenal chini ni picha za matukio ya mechi yote. 
| Hii ni picha inayo onesha matokeo wafungaji wa magoli na watoaji pasi za mwisho | 
| Uwanja wa Wembley ilipochezwa mechi hiyo | 
| mkongwe wa Arsenal Ian wright akipiga picha "selfie" mbele ya mashabiki wa Arsenal | 
| vicent company na Arsene Wenger | 
| Santi Karzola akifunga goli la kwanza | 
| Ramsey a.k.a Rambo akishangilia goli | 
| Nahodha arteta akimpa pole mchezaji wa Manchester City "No hard feelings" | 
| Mchoro unao onesha goli zuri la Giroud alilofunga leo. | 
| Giroud akishangilia goli | 
| shuti la Giroud lililomshinda kipa wa Manchester City | 
| washabiki wa Arsenal wakishangilia kwa mtindo wa kugeuka nyuma mtindo huu unaitwa kwa jina la Poznan | 
| Washabiki wa Manchester City wakiwa hawaamini walichotendewa | 
![]()  | 
| mabingwa ndio hawa | 
![]()  | 
| Nahodha Arteta akinyanyua ngao | 

















