Facebook Comments Box

Monday, August 18, 2014

MAULID KITENGE AACHANA NA ITV NA RADIO ONE


Maulid Baraka Kitenge

Mtangazaji maarufu wa michezo Maulid Baraka Kitenge ameacha kazi katika kampuni ya IPP Media wamiliki wa Radio One na ITV ambako alifanya kwa miaka 14 kama mwandishi zaidi ikiwa kama mhariri wa habari za michezo.

Katika barua hiyo mtangazaji huyo amelalamika ukuaji wa gharama za maisha hii ikionesha kiasi anacholipwa hapo hakikidhi ndio maana kaamua kuacha na kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine. Pamoja na hayo amerudisha sehemu ya mshahara wake kama sheria ya kazi isemavyo. 
Hii ni barua aliyo uandikia uongozi wa ITV na Radio One
Hii ni tweet yake baada ya kuwasilisha barua


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU