Facebook Comments Box

Wednesday, July 2, 2014

MAJAMBAZI WASHAMBULIA BASI LA MAGEREZA

Chini ni picha ambazo  ni tukio lilotokea hivi punde maeneo ya mikocheni ilipo TMJ hospitali wanaposema kuwa majambazi walikuwa wakishambulia gari lililo mbele ya basi la magereza. Wakadhani kwenye basi lile kutakuwa na askari mwenye silaha wakalishambulia na basi hilo la magereza.

Basi lilikuwa lilotokea mahakama ya kawe ambapo hupelekwa kesi ndogo ndogo. Majambazi hao wamemuumiza askari mmoja wa kike na hakuna mahabusu alie toroka. 





 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU