Facebook Comments Box

Saturday, March 30, 2013

MAKAMU WA RAIS DK. GHARIB BILAL ALIPOTEMBELEA ENEO LILIPODONDOKA GHOROFA JANA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Dk. Gharib Bilal akiwa eneo la tukio ili kujionea mwenyewe pamoja na kupata maelezo kutoka kwa mashuhuda wa ajali ya kudondoka kwa Jengo la Ghorofa 16 jana asubuhi katikati ya Jiji.
Makamu wa Raisi Dk. Gharib Bilal akipata maelezo kutoka kwa Kamanda wa JWT kama anavyoonkana katika picha.

Uokoaji ukiendelea.

Askari wa JWTZ wakisaidiana na Wananchi kusukuma Jenereta kubwa kulisogeza eneo la tukio ili eneo hilo liwe na mwanga wakati wa usiku na kuwezesha uokoaji kuendelea hadi jana usiku.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU