Facebook Comments Box

Friday, June 27, 2014

ANDREY COUTINHO WA BRAZIL AWASILI NCHINI KUICHEZEA YANGA

 Huyu ndio
Huyu ndio kiungo machachari kutoka brazili aliesajiliwa na Yanga Africans Sports Club ametua leo Jijini Dar
Msemaji wa Yanga Baraka Kizuguto akipiga picha na mbrazili Cuotinho wa Yamga



CUF WAKIJIANDAA NA MKUTANO MKUU ASUBUHI HII

Wanachama wa Chama cha wananchi CUF wakiwa katika hekaheka za kuingia katika mkutano mkuu ambao unafanyika Blue Pearl Hotel asubuhi hii  
 



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU