Facebook Comments Box

Saturday, April 19, 2014

PICHA: YANGA NA SIMBA ZILIVYOKUTANA LEO.

Akiwa mbele kuwaongoza wachezaji wenzake katika kushangilia bao lake la kusawazisha ni Saimon Msuva


mshambuliaji wa Yanga Kavumbagu akiwatoka mabeki wa Simba

Akitafuta mbinu sahihi za kuwatoka mabeki wa simba ni mfungaji wa bao safi la kusawazisha la Yanga Simon Msuva
Shabiki wa Yanga



Mchezaji wa Yanga Hamisi Kiiza "Diego" akiruka daluga la beki wa Simba Chollo

the


AZAM WATOA KIINGILIO MECHI YA LEO.


UONGOZI wa mabingwa wapya wa soka
Tanzania Bara, Azam FC unatarajia
kutowalipisha kiingilio mashabiki katika
mchezo wa kesho dhidi ya JKT Ruvu kwenye
Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Katibu Mkuu wa timu hiyo, Nassor Idrissa
alisema sababu ya kufanya hivyo ni kuwapa
fursa mashabiki wao kuingia kwa wingi ili
kushuhudia timu yao ikikabidhiwa kombe la
ubingwa huo ambalo wanalitwaa kwa mara
ya kwanza tangu ilipopanda kucheza Ligi
Kuu.
“Natarajia kukutana na viongozi wenzangu
halafu tuzungumze na Mwenyekiti wa Bodi
ya Ligi, Silas Mwakibinga tuone kama
tunaweza kuruhusiwa kuwaingiza mashabiki
wetu bure kwenye mchezo wetu wa mwisho
dhidi ya JKT Ruvu, ili washuhudie timu yao
ikikabidhiwa kombe,” alisema Idrissa.
Idrissa alisema kama yangekuwa mamlaka
yao wenyewe na siyo sheria za Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF), wangechukua uamuzi
Ni


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU