Facebook Comments Box

Monday, March 25, 2013

HII NDIO HUKUMU YA MUIGIZAJI KAJALA

Kajala
Muigizaji Kajala amekutwa nahatia katika makosa mawili ambapo ameamriwa kwenda jela miaka mitano au kutoa faini ya Tsh milioni 13 ambapo habari zilizo tufikia punde zinasema mrembo na muigizaji Wema Sepetu ametoa hela hizo zote milioni 13 ili muigizaji huyo awe huru.
Wema Sepetu

Habari zaidi tutazidi kukuletea

ANGALIA VIDEO YA TAIFA STARS VS MOROCCO NA MAGOLI YALIVYOFUNGWA




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU