Facebook Comments Box

Friday, September 5, 2014

KINANA ATOA POLE MTAMBANI

Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahaman Kinana  ametembelea msikiti wa mtambani na kutoa pole kwa janga la moto lililotokea na kusababisha shule ya mivumoni kuungua. Mtambani kwasasa wanaomba msaada kwa ajili ya kujenga/kukarabati upya shule hiyo. Pichani ni mh Kinana na baadhi ya viongozi wakiislam Tanzania.
 




JOAN RIVERS AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu nchini Marekani Joan Rivers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka themanini na mmoja.

Joan alikua amelazwa katika hospitali moja mjini New York kwa wiki kadhaa sasa akisumbuliwa na maradhi ya moyo. Melissa binti wa Joan, Akitangaza juu ya kifo cha mamake alimuelezea mama yake kuwa maishani mwake alikua akipenda kuona watu wana tabasamu usoni ama vicheko.

Joan River alianza shughuli zake za ucheshi kama muigizaji wa kawaida tu nusu karne iliyopita, na anatajwa kuwa mwanamke maarufu na bora katika ucheshi jukwaani.

CHANZO: BBC SWAHILI


SHULE YA JABALHIRA YAONGOZA MTIHANI WA MAARIFA YA KIISLAM

Afisa mwandamizi Ustaadh Suleiman akitangaza shule kumi bora.



KOCHA WA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI

Kocha wa timu ya Taifa Stars, Mart Nooij akitangaza majina ya
wachezaji mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Kushoto ni kocha Mrt Nooij, Meneja wa timu Boniphace Clement
pamoja na Dk Emile Richard wakiwa kwenye mkutano na wanahabari.


MAGAZETI YA LEO: IJUMAA TAREHE 05/09/2014




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU