Facebook Comments Box

Wednesday, May 14, 2014

TV IMAAN NDANI YA STARTIMES DAR ES SALAAM LEO.

TV Imaan kituo cha televisheni chini ya Islamic Foundation,
Morogoro hii leo In Sha Allah kitaanza kurusha matangazo
yake kupitia Startimes kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Fuatilia kipindi ''Walioacha Alama Katika Historia ya
Tanzania,'' ambamo Mohamed Said atafanya mahojiano na
wale waliosukuma gurudumu la historia ya Tanzania.
Patakuwa na vipindi vingine vingi vya kuuelewa Uislam
kwa watazamaji wa kila rika vipindi ambavyo vinaelimisha,
kuburudisha, kutuliza akili ya mja na kumjengea uwezo
mkubwa wa kuijua dini yake kwa wepesi na kumjua Allah
Subhana wa Taala.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU