Facebook Comments Box

Thursday, January 10, 2013

HAWA NDIO WANAFUNZI WALIONGOZA (VICHWA ) WALIOMALIZA DARASA LA SABA


Picture
Wanafunzi walioongoza mtihani wa taifa wa darasa la saba wa mwaka 2012, Janeth Kijazi (kushoto) Justina Kalala (katikati)na Kellen Mudogo wakiwa shule ya sekondari ya wasichana, St Marian Bagamoyo, jana, walikoanza kidato cha kwanza. Wanafunzi hao walihitimu elimu ya msingi katika Shule ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam. (Picha: Florence Majani)



MGAO WA UMEME HAUPO NA HAUTAKUWEPO - PROF: MUHONGO


Picture


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU