Facebook Comments Box

Tuesday, July 29, 2014

TAMASHA LA IDD TABATA SHULE:MECHI WALIO OA NA AMBAO HAWAJAOA

Washindi watarajiwa walio oa wakipanga timu na mikakati.  Hawa ni kutoka misikiti yote ya tabata ya Ansari suna.
Kipa wa walio oa akipangua shuti lilokuwa likielekea langoni kwake.
Beki wa wasela Ustaadh Ramadhan Kabange akienda kuvaa tayari kwa mpambano.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU