Facebook Comments Box

Friday, November 15, 2013

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA RAY KIGOSI

Muonekano huu unaenda kuuona wa muigizaji na muongozaji wa bongomovie “Vicent Kigosi”unahusisha kubadilisha rangi ya nywere zake, tatoo kubwa kwenye mikono yote miwili na mavazi kama msanii wa bongoflava.

Yeye mwenyewe kwenye picha moja wapo aliandika caption ya “Je nageukia bongoflava au kuna nini kinakuja?”. Jinsi inavyoonekana ni moja ya maandalizi ya movie mpya kutoka RJ Company.



HUYU NDIO MCHEZAJI ALIE SAJILIWA NA YANGA



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU