Facebook Comments Box

Monday, November 12, 2012

HAYA NDIO YATAKUWA MAKAO MAKUU YA CCM NA HOTEL YENYE HADHI YA NYOTA TANO

 Picha zinazoonyesha Michoro ya Ukumbi,Ofisi za Makao makuu na Hotel ya nyota tano.
 Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein akiwasili eneo la Makulu kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za makao makuu, Ukumbi wa Mikutano na Hotel ya Hadhi ya nyota tano muda mfupi ulipita.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Chama,Ukumbi wa Mikutano na Hotel za Hadhi ya Nyota Tano katika eneo la Makulu Dodoma muda mfupi uliopita


WASEMAYO VIONGOZI NA WATEKELEZAYO



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU