Facebook Comments Box

Saturday, November 8, 2014

HATIMAYE SITTI MTEMVU AACHIA TAJI

Katika hali isiyotarajiwa mlimbwende alichukua taji la urembo la Tanzania mwanadada Sitti Mtemvu ameachia taji hilo. Katika barua ambayo amewaandikia wandaaji wa shindano hilo ameeleza jinsi anavyo andamwa na watu mbalimbali juu ya umri wake.

Barua aliyo andika ni hiyo hapo chini


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU