Facebook Comments Box

Friday, July 25, 2014

TV IMAAN WAPATA LESENI YA KURUSHA MATANGAZO


Hatimae TCRA leo watoa leseni ya urushaji wa matangazo ya Tv kwa TV Imaan na kuwa television ya kwanza afrika mashariki na kati kurusha matangazo yake kwa lugha ya kiswahili.
Tunawatakia mafanikio mema na Allah awaongoze katika kuwatoa watu kwenye giza na kuwapeleka kwenye nuru.
Br Arif Nahad akitoa hutuba
     
Br Arif Nahad na Br Ally ajiraan wakibadilishana mawazo katika hafla ya utoaji wa leseni


Mwenyekiti wa The Islamic Foundation akihojiwa na Jaffar Mponda



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU