Facebook Comments Box

Wednesday, December 18, 2013

KIVUKO CHA MV MAGOGONI KINAELEA BAADA YA INJINI KUZIMA

Kivuko cha Mv Magogoni kinaelea juu ya maji kwa wakati huu baada ya injini yake kuzima.
Kivuko hicho kimebeba watu wengi na magari mpaka mwanzoni kama kawaida yake.
Abiria wamevaa maboya ila sio wote ambao wamepata maboya.
Juhudi zinafanyika kuwaokoa kuna mitumbwi ambayo imekuwa ikifika hapo na kuwachukua baadhi ya abiria.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU