Facebook Comments Box

Tuesday, December 9, 2014

BREAKING NEWS: KUNA MAPIGANO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI DUMILA

Abiria wakishirikiana na polisi kuzima moto uliowashwa barabarani

Polisi wa kutuliza ghasia wakielekea kwenye tukio
Yametokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji dumila mkoani morogoro. Magari yamesimama hayaendi morogoro na wala ya morogoro hayaendi dodoma.

Polisi wa kutuliza ghasia (FFU)  wameelekea huko kutuliza ghasia hizo.

kwenye moshi ndio eneo la mapigano

Foleni ya magari iliyosababishwa na mapigano hayo

 



DANNY MRWANDA ASAINI YANGA KWA MKATABA WA MWAKA MMOJA

Mchezaji Danny Mrwanda amesaini kuitumikia klabu ya Yanga kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mkataba huo umesainiwa jana usiku.
Danny Mrwanda akiweka saini katika mkataba



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU