Facebook Comments Box

Monday, April 14, 2014

PICHA:BARABARA YA MAGARI YAENDAYO KASI YAHARIBIKA KABLA YA KUANZA KUTUMIKA

Watu wengi wakiwa wametafsiri kuwa ni ujengwaji wa chini ya kiwango wa baadhi ya sehemu za barabara za mabasi yaendayo kasi baada ya kuona sehemu hii ambayo imeharibika kabla ya kutumiwa.
Picha chini ni sehemu ya barabara hiyo iliyo haribika.



AJALI MBAYA MAKONGO JUU: LORI LA MCHANGA LAANGUKIA GARI DOGO.



TV IMAAN IPO HEWANI KWA MAJARIBIO

Kwa wale waliokuwa wakikosa vipindi bora na vyenye maadili na kuelimisha kwa ajili ya familia na jamii kwa ujumla sasa Tv Imaan imerudi hewani na sasa ipo kwenye matangazo ya majaribio.

Wenye satellite dish wataipata Tv Imaan 

satellite ..intelsat 906 64°E

Frequency....4069

Symbol Rate ..... 2500

Polarization. .....Vertical

 wenye kingamuzi cha startimes waliopo morogoro wataipata pia.

TV IMAAN
ELIMU BILA MIPAKA.



LIGI KUU UINGEREZA: NANI KUSHIKA NAFASI YA NNE

Ligi kuu ya uingereza imefika pagumu ambazo Arsenal na Everton wakiwa wamebakiza mechi tano tatu nyumbani na mbili ugenini.

Everton wana points 66 na Arsenal 64 wakiwa na mchezo sawa



PICHA:DARAJA LA MTO RUVU BADO HALIPITIKI

Hizi ni baadhi ya picha ambazo zinaonesha hali ilivyo sasa mto ruvu.
Mpaka sasa daraja hilo halipitiki hamna gari lililopita kwenda morogoro na Arusha wala kuja huku Dar es salaam.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU