Facebook Comments Box

Friday, June 13, 2014

PICHA: AJALI ILIYOTOKEA MOROCO MCHANA WA LEO

 
Baadhi ya Watu wakitazama ajali ya magari mawili kama yaonekanavyo pichani,iliyotokea mapema leo eneo la Moroco-Posta jijini Dar,katika ajali hiyo ambayo chanzo chake hakikufahamika mara moja,mtu mmoja alijeruhiwa na hakuna aliyepoteza maisha.



Mama ambaye jina lake halikufahamika mara moja moja aliyekuwa kwenye gari lenye usajili wa namba T679 CKC,akipewa huduma ya kwanza mara baada ya kupoteza fahamu



Moja ya gari ambalo pia lilipata ajali mara baada ya kuacha barabara na kuvamia mtaro kama lionekanavyo pichani



Moja ya gari ambalo pia lilipata ajali mara baada ya kuacha barabara na kuvamia mtaro kama lionekanavyo pichani,huku abiria wake mmoja akiwa amepoteza fahamu,kama aonekavyo kwa mbali



Majeruhi akipewa huduma ya kwanza na mmoja wa akina mama aliyekuwa akifanya usafi kando kando ya barabara mapema leo asubuhi,katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.

NAKUMATT WAUZA VITU NUSU BEI MLIMANI CITY MUDA HUU

Baada ya kununua duka la shoprite Nakumatt wameamua kuuza bidhaa zote zilizokuwepo ndani kwa nusu bei. Kwa mfano sukari kilo moja inauzwa elfu moja na hamsini. Hii imevutia watu wengi na kujaza duka hilo hii leo.

 



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU