Facebook Comments Box

Friday, August 23, 2013

ANGALIA WIMBO MAALUM WA ARSENAL KUTOKA KWA WASHABIKI WA MANCHESTER UNITED




ANGALIA PENATI HII YA MWISHO ILIYOPIGWA KIUFUNDI KABISA

Ni penati ya mwisho ya ushindi na kijana kaipiga kwa ufundi kabisa


MAKATIBU NA MANAIBU WAKUU WAAPISHWA IKULU NA RAIS



 Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu Kiongozi Mhe Ombeni Sefue wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa ofisi ya Sekretariate ya Baraza la Mawaziri ambako watumishi wake wawili wameteuliwa kuwa manaibu Makatibu wakuu, ambao ni Injinia Angelina Madete (kulia kwa Rais) na Mhe. Consolata Mgimba (kushoto kwa Rais) mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu na Manaibu Katibu wakuu Ikulu jijini Dar es salaam leo.


 Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu wapya mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu na Manaibu Katibu wakuu Ikulu jijini Dar es salaam leo.

 Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu wapya mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu hao na Manaibu Katibu wakuu Ikulu jijini Dar es salaam leo.

Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika picha ya pamoja na Manaibu Katibu wakuu mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu na Manaibu Katibu wakuu hao Ikulu jijini Dar es salaam leo.
CHANZO:MICHUZI BLOG

PICHA: UAPISHWAJI WA RAIS MUGABE WA ZIMBABWE

Rais, Robert Gabriel Mugabe,  jana kwa mara ya saba katika historia ya nchi hiyo, alikula kiapo cha kuongoza Zimbabwe kwa nusu muongo ujao.

Shughuli za kuapishwa zilifanyika kwenye Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare, Agosti 22, 2013 na kuhudhuriwa na wawakilishi wa mataifa mbalimbali kutoka barani Afrika.

Zifuatazo ni baadhi tu ya picha kutoka IKULU ya Tanzania, za kumbukumbu ya tukio hilo.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU