Facebook Comments Box

Tuesday, August 26, 2014

WAKONGWE WA REAL MADRID WAKIELEKEA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Wakongwe wa Klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania wakipiga picha za kikundi cha ngoma kilichokuwa kikiwatumbuiza mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kabla ya kuelekea Mlima Kilimanjaro.


MAGAZETI YA LEO: JUMANNE 26/08/2014

 



UFARANSA YAVUNJA SERIKALI YAKE

Rais wa Ufaransa Francois Hollande akitoa hotuba huko katika jumba la Elysee

Rais wa Ufaransa Francois Hollande amevunja serikali yake. Waziri Mkuu Manuel Valls amewasilisha hati za kujiuzulu kwa serikali yake ya kisoshalisti Jumatatu na Bw. Hollande amekubali na kumwamuru waziri mkuu huyo kuunda serikali mpya ifikapo Jumanne.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU