Facebook Comments Box

Thursday, January 16, 2014

MELI YA TITANIC YAANZA KUTENGENEZWA UPYA

china-titanic-replica-6d-tragedy-simulator-1-690x494
Na Mwandishi Wetu, 
WENGI wa watu nchini China wanapendelea ujenzi wa majengo makubwa ya kihistoria na magari kadhaa yenye muonekano wa alama ya uchina kama ishara ya kuonyesha ufanisi wao katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali duniani.
Lakini basi tena, wachina ni watu katika jamii wanaopenda kufanya mambo makubwa na tofauti na ni wazalishaji wa vitu vingi vya hapa leo duniani, sasa wachina wanatengeneza meli kubwa kwa mfano wa meli maarufu ya Titanic.
Meli ya Titanic iliyozama mwaka 1914 karibu karne moja iliyopita na kuua watu karibu elfu moja, sasa kampuni kutoka uchina ya Star Investment Group katika mkoa wa Sichuan itatumia dola za kimarekani 165 milioni katika kujenga upya meli mfano wa Titanic.

china-titanic-replica-6d-tragedy-simulator-3
Meli hiyo mpya ya wachina itafanana kabisa na meli ya Titanic iliyozama vibaya kwenye kina cha bahari karne moja iliyopita. Meli hiyo itajengwa kwa ushirikiano na kampuni ya serikali ya China Ship building Corporation ya Wuchang inatumika kama sehemu ya hifadhi ya makumbusho katika mkoa wa Sichuan.
Katika meli hii ya replica ni ishara ya uvumbuzi uliotukuka kutoka kwa wachina na watazamiwa kuingiza mamilioni ya fedha kama riba kutokana na alama ya Titanic duniani.


VIDEO: TEMA MATE TUWACHAPE - MADEE









WAENDESHA BODABODA WAANDAMANA ARUSHA

Waendesha bodaboda Arusha wameandamana baada ya amri ya kutoruhusiwa kupaki pikipiki zao katikati ya jiji.

Waendesha bodaboda hao wameandamana na kusababisha polisi kusambazwa jijini ili kuzuia vurugu zozote ambazo zinaweza kuzuka.



Wednesday, January 15, 2014

DIVA, MCHOMVU NA B12 WAPINGWA CHINI CLOUDS MEDIA GROUP

Habari za chini kwa chini kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa uongozi wa Clouds umefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na tabia ya utovu wa nidhamu wa watangazaji hao.
Hata hivyo, madai ya mitaani yanasema kwamba watangazaji hao wamepigwa chini kwa kosa la kukacha sherehe za maadhimisho ya miaka 14 ya Clouds FM,yaliyofanyika hivi karibuni katika Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke, Dar.
Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba na kumwuliza juu ya ishu hiyo ambapo alikiri.
“Ni kweli tumefikia uamuzi wa kuwasimamisha B 12, Diva na Mchomvu baada ya kukiuka baadhi ya makubaliano baina yao na ofisi hivyo kusababisha usumbufu mkubwa ambao ulitulazimu kuingia gharama ambazo hazikutarajiwa.
“Hatutakuwa nao kwa muda usiojulikana ingawa watu wengi wamekuwa wakinihoji juu ya hilo lakini watachotakiwa kuelewa ni kwamba hakuna ofisi isiyokuwa na sheria na taratibu za kuongoza watu wake, sasa hao wamevunja taratibu zetu,” alisema Ruge bila kufafanua zaidi.
Alipoulizwa ni taratibu zipi watangazaji hao walizovunja alisema: “Nashindwa kueleza kosa la kila mmoja ila naomba nieleweke kuwa hao watangazaji kwa sasa tumewasimamisha kwa muda usiojulikana wakati tukifikiria cha kufanya. Muhimu hapo ni kwamba wamekwenda kinyume na tulivyokubaliana.”
CHANZO; GPL


Tuesday, January 14, 2014

PRESIDENT JAKAYA KIKWETE RE-SHUFFLES CABINET

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete  announced his new cabinet yesterday,

it was highly anticipated that President Kikwete would reshuffle the cabinet after

appointing the former United Nations Deputy Secretary general

Dr Asha Rose Migiro as a member of Parliament in the Month of December 2013.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

President Jakaya Kikwete on Tuesday, this week, nominated former United Nations Deputy Secretary General, Dr Asha-Rose Migiro, Member of Parliament.
And a section of the Tanzanian media, led by an authoritative Kiswahili weekly, Raia Mwema, was spot-on in linking the president’s move with his plans to reshuffle the cabinet.

Dr Migiro was the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation when her name was given by President Kikwete to the then newly elected United Nations Secretary General, Ban Kin Moon after the latter had requested for the name (preferably that of a woman) for appointing to the newly introduced UN post as a way of appreciating Tanzania’s sterling role in successfully campaigning for him for the top UN job.

The incumbent Foreign affairs minister Hon. Bernard Membe and  Prof. Muhongo both  hold on to

their currentis portfolios of foreign affais and international cooperal and minerals respecticely.

Hon. January Makamba has been made a full minister after being a deputy in several ministries.

The list that we have received  seems to have some new faces and a few old ones

with some deputies being made full ministers after clearly demonstrating their capacities.

The President appears have mave made some bold moves by appointing new young

ministers like Hon. Makamba but he has also kept the voices of experience with safe

hands like Membe, Sitta and Magufulid to maintain the continuity.

January Makamba...Agriculture food and cooperatives

Dr Asha Rose Migiro...East Africa

Sanwel Sitta...Defence

Harrison Mwakyembe...Tamisemi

Deo Filikunjombe.....Transport

Abdallah Kigoda....Finance and Economy

Prof. Kabudi.....Education

Prof. Mark Mwandosya...Public Services Management

Aggrey Mwanri...Works

Dr. Magufuli....Natural Resources and Tourism

Dr. Charles Muhangwa Kitwanga....Livestock and fisheries

Dr. John Tizeba.....Home Affairs

Dr. Mary Nagu...Business and industries

Prof. Maghembe....Water

Prof. Sospeter Muhongo....Energy and Minerals

Bernard Membe...Foreign Affairs

Prof Anna Tibaijuka....Lands, Housing and Human Setllements

Prof. pius P Mbawala....Science and technology

CHANZO: MATUKIO UK BLOG



Thursday, January 9, 2014

BASI LA MTEI LACHOMWA MOTO BAADA YA KUSABABISHA AJALI

Leo asubuhi bus la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani singida baada ya bus ilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua watu watatu Hapohapo.



KIBONZO: MOYES AKIZISAIDIA NDOA ZA WATU



Wednesday, January 8, 2014

BAADA YA ZITTO KUSHINDA MAMBO YALIKUWA HIVI

Mh Zitto Kabwe akibebwa juu na wanachama wa CHADEMA baada ya kushinda kesi alio ifungua akiomba mahakama isimamishe kamati kuu isijadili uanachama wake mpaka hapo kesi ya msingi itakapo sikilizwa




Sunday, January 5, 2014

SOMA ZITTO ALIVYO WACHANA LISSU NA MBOWE LIVE.



MATOKEO YA FA CUP: MAN U WACHEZEA KICHAPO



SHOTI YA UMEME YATHIRI NYUMBA ZAIDI YA MIA: MOTO MPAKA SASA BADO HAUJAZIMWA

Taarifa ilotufikia muda mfupi kua shoti ya umeme imeathiri nyumba takribani 100 katika mji wa Pemba kijiji cha Shumba mjini na mpaka hivi sasa hakujawezekana kuzimwa kwa moto huo kwa kutopatikana gari la kuzimia moto huu ni msiba mkubwa kwa ndugu zetu naomba tuwatakieni dua ili Allah awahafifishie mtihani huo


YANGA YAWAHENYESHA WAZUNGU


Kocha Msaidizi wa timu ya Yanga Boniface Mkwasa akitoa maelekezo kwenye mazoezi ya timu ya Yanga hivi karibuni  

YANGA imeuanza mwaka 2014 kwa kasi ya aina yake ambapo makocha wazungu wenye hadhi zao wanahenya usiku na mchana wakisubiri simu za viongozi tayari kuitwa kazini kuanza kibarua kipya.
Lakini Abdallah Binkleb ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano na Usajili wa Wachezaji, ameithibitishia Mwanaspoti kwamba kabla ya Jumatano ijayo lazima watakuwa wamemchagua mzungu mmoja wa maana.
Binkleb alisema: “Wapo wengi sana kila siku wanatuma maombi lakini sisi tunataka kocha mmoja tu wa maana ambaye ni fundi na anayeweza kutufanyia kitu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na analijua soka la Afrika.
“Tumemchukua Mkwasa (Boniface, anayekuwa Kocha Msaidizi) ni kocha wa maana pamoja na Juma Pondamali (Kocha wa Makipa) wanaijua Yanga vilivyo, tuna uhakika kwamba tukishakutana tukipitia orodha ya mwisho na kuchagua wa kutua nchini, tusifanye makosa.”
Hata hivyo kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Yanga hakuwa na idadi kamili ya makocha walioomba kazi hiyo inayoachwa wazi na Ernest Brandts ambaye amepewa notisi.
Bin Kleb alisema hawezi kusema idadi kwa sasa kwa vile wamekuwa wakipokea barua pepe za maombi hayo kila baada ya muda mfupi.
MKWASA AANZA KWA MIKWARA
Boniface Mkwasa ameiangalia timu hiyo na kutamka kuwa wachezaji wake hawana uwezo wa kucheza dakika 90, hivyo ataanza mazoezi ya aina nne kuwandaa kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mkwasa ametoa kauli hiyo mara baada ya mazoezi ya siku ya kwanza kumalizika jana Ijumaa baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo akirithi mikoba ya Fred Minziro aliyekuwa msaidizi wa Brandts.
Akizungumza na Mwanaspoti, Mkwasa alisema kuwa timu hiyo inahitaji mabadiliko ya haraka katika kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi kutokana upungufu aliouona ambao ni;
Moja; Pumzi. Hilo ndilo la kwanza linalohitajika ambalo ameliona kwa wachezaji kushindwa kumudu kucheza dakika 90 jambo ambalo ni baya kwa timu inayojiandaa na michuano ya kimataifa.
Katika kuhakikisha analifanyia kazi hilo, tayari ameuomba uongozi kutafuta uwanja mkubwa kushinda ule wanaoutumia hivi sasa wa Bora uliopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Wanahamishia mazoezi yao Uwanja wa Tanganyika Packers ambao una eneo kubwa kwa lengo la kuwaongezea pumzi wachezaji hao.

Pili; Kasi. Ameona timu hiyo inacheza soka la taratibu ambalo yeye halitaki, anataka kuona timu inacheza kwa kasi ili kuwachosha wapinzani wao ndani ya uwanja.
Tatu; Pasi. Nalo ni tatizo kwani anasema wachezaji wanapiga pasi hovyo. Anasema ili timu icheze soka safi, lazima wapige pasi zitakazowafikia wenzao ndani ya uwanja na siyo kuwapelekea adui na kuanza kupata tabu ya kukaba.
Nne; Kumiliki mipira. Hilo nalo ni tatizo ingawa amesema ni karibu kwa timu zote zinazoshiriki ligi, hivyo amepanga kulimaliza tatizo hilo kwa Yanga.
“Ninajua ni ngumu kumaliza matatizo hayo katika muda huu mfupi wakati timu inajiandaa na ligi, lakini ninaamini nitalipunguza, jambo kubwa nahitaji ushirikiano kutoka kwa wachezaji, ninaomba viongozi kuhakikisha wanasimamia nidhamu ya wachezaji, pale wanaomba ruhusa na kupewa basi warudi kwa wakati,” alisema.
MAZOEZI MARA MBILI
Mkwasa amebadilisha muda wa mazoezi ambapo kuanzia keshokutwa Jumatatu yatakuwa yakifanyika jioni tu na kadiri siku zinavyokwenda mazoezi ya timu hiyo yatakuwa yakifanyika mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni.
Mkwasa alikaa kikao kirefu na wachezaji juzi Alhamisi jioni klabuni na aliiambia Mwanaspoti kuwa kikao hicho kilikuwa kwa ajili ya kuwafahamu wachezaji kabla ya kuanza kazi rasmi jana Ijumaa.
“Lengo langu lilikuwa kufahamiana na kupanga mikakati, mimi si mgeni Yanga, naamini ushirikiano kutoka kwa wachezaji na viongozi utasaidia timu kupata mafanikio kwenye Ligi Kuu na michuano ya kimataifa,” alisema Mkwasa.
Habari za ndani zinasema Yanga itasafiri kwenda nchi mojawapo kati Hispania, Uturuki au Ureno na inadaiwa timu inatakiwa kuondoka kati ya Januari 9 na 10.
Viongozi wanafuatilia maandalizi ya safari hiyo ili ifanyike katika muda huo.  

CHANZO: MWANASPOTI


MAPINDUZI CUP: SIMBA WAVUTWA SHATI NA KCC



Wekundu wa Msimbazi Simba wameshindwa kuwatambia KCC ya Uganda baada ya kutoshana nguvu kwa kutoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa kundi B kuwania Kombe la Mapinduzi uliochezwa uwanja wa Amaan usiku huu.
Kwa ujumla timu zote ziulionekana kucheza kwa umakini mkubwa hasa katika safu za ulinzi ikiwa ni ishara ya kuepuka kupoteza mchezo na kubakiza matumaini ya kufuzu kwa robo fainali. ambapo hadi mapumziko timu zote zilikuwa zimepiga mikwaju miwili tu iliyolenga lango la mpinzani.

Kipindi cha pili Simba ilionekana kuimarika zaidi hasa baada ya kuingia kwa Said Ndemla kuchukua nafasi ya Amri Kiemba na pia Betram Mwombeki aliyechukua nafasi ya Amissi Tambwe, ambaye alionekana kukosa ujanja wa kuipenya ngome ya waganda kwa kudhibiwa vilivyo. Kwa ujumla Simba walipiga mikwaju mingi zaidi iliyolenga lango kwani walipata mikwaju 6 wakati KCC walipiga mitatu

Simba Nusura waandike bao katika mwa kipindi chapili pale Ndemla alipopiga mkwaju mkali ambao hata hivyo uliokolewa na mlinda lango na ukawa kona butu.

KCC wangeweza kuandika goli la kusawazisha katika dakika za mwisho kabisa za mchezo kamasi uhodari wa mlinda lango Ivo Mapunda kuuucheza mpira uliokuwa ukielekea langoni na kufanya timu zote mbili zifune alama moja na kufikisha alama nne.

KCC iko kilelelni mwa kundi B ikiipiku Simba kwa wingi wa magoli ya kufunga wakati AFC na KMKM zinashika nafasi ya tatau na ya nne kwani zote zina alama moja kila moja. Michezo ya mwisho keshokutwa ndiyo itaamua ni tiu ipi iende robo fainali wakati Simba itakapocheza na KMKM na na KCC wakiikabili AFC Leopards

Kesho Jumamosi kuna michezo mine. Kwenye uwanja wa Gombani Pemba watoza ushuru wa Uganda, URA watapepetana na timu mseto ya Pemba (Clove Stars) kuanzia saa 8 mchana na baadaye saa 10 Mbeya CITY watakipiga na timu ya Chuoni.

Wakati hayo yakiwa Pemba, Unguja kwenye uwanja wa Amaan saa 10 jioni Ashanti United wataonyeshana kazi na timu mseto ya unguja (Spice Stars) na sa 2 usiku mabingwa watetezi Azam watawakabili Tusker ya Kenya.


TETESI: MABERE MARANDO ARUDISHA KADI YA CHADEMA

Mwanasheria Mabere Marando
Habari zilizo tufikia ambazo bado hazijathibitishwa zinasema Mwansheria Mabere Marando amerudisha kadi ya CHADEMA kwa madai ya kuwa cham hicho kimekuwa hakitendi haki


Friday, January 3, 2014

BENKI KUU YA TANZANIA YATOA SARAFU YENYE THAMANI YA SHILINGI 50,000 YA PAMOJA

PROFESA BENNO NDULU - GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa sarafu maalumu ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye thamani ya sh 50,000.

Gavana wa BoT, Profesa Benno Ndulu, alisema kuwa sarafu hiyo iliyotengenezwa kwa madini ya fedha kwa asilimia 92.50, imetolewa kwa ajili ya kumbukumbu tu na haitaingizwa katika mzunguko wala kutumika kwa kulipia malipo ya aina yoyote.




Sarafu hii imetolewa maalumu kama maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar, haitatumika kwa manunuzi.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Idara ya Uhusiano wa Umma na Itifaki ya BoT ilimnukuu Profesa Ndulu akisema sarafu hiyo imetolewa kwa idadi ya vipande 3,000 kwa ajili ya tukio hilo na kuwahimiza wananchi kuinunua kwa ajili ya kumbukumbu hiyo.


Kwa mujibu wa Gavana, kutolewa kwa sarafu hiyo kunakwenda sambamba na utaratibu wa Benki Kuu kutoa sarafu maalumu za aina hiyo kama sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya matukio mbalimbali muhimu ya kitaifa na kimataifa.


Kwa kawaida, baada ya muda, thamani ya sarafu kama hizi huongezeka na kuwa na faida zaidi kwa wanaozimiliki,” alisema Profesa Ndulu.

Gavana Ndulu alieleza sarafu hizo zitapatikana Januari 5 kwa bei ya sh 50,000 katika matawi ya benki za biashara zitakazokuwa zimepata sarafu hizo kutoka Makao Makuu ya Benki Kuu, Dar es Salaam na matawi ya Benki Kuu yaliyoko Zanzibar, Arusha, Mbeya na Mwanza.

Benki za biashara zinaweza pia zikasambaza sarafu hizi kupitia matawi yake,” alisema gavana na kuongeza taarifa za usambazaji zitatolewa na benki hizo.

Katika sarafu hiyo, upande wa mbele unaonesha sura ya hayati Sheikh Abeid Aman Karume na maandishi yanayosomeka: ‘Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi’. 

Upande mwingine wa sarafu unaonesha nembo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, maandishi yanayosomeka: “Miaka Hamsini ya Mapinduzi”, thamani ya sarafu na miaka 1964-2014.


ANGALIA ALICHO POST BERBATOV KUHUSU ARSENAL

Maswali mengi yalitokea jana baada ya mwanasoka Dimitar berbatov kupost katika ukuta wake wa facebook kuhusu Arsenal alipost habari ambayo ilikuwa ikiuliza kuwa kama yeye anaweza kuisaidia timu hiyo ya Arsenal kuchukua ubingwa.

Hata hivyo post hiyo haikuweza kudumu kwa zaidi ya dakika 20 kwani aliifuta katika ukurasa wake huo.

Vyombo vingi vya habari vimekuwa vikitaja kuwa mshambuliaji huyo mkali ameshamalizana na Arsenal na sasa imebaki mkataba kusainiwa tu.

Kochawa Arsenal aliamua kutafuta mshambuliaji baada ya washambuliaji wake wawili kuumia Giroud na Bendtner. Baadhi ya washambuliaji anao wataka ni pamoja na Lewandowski na Benzema

Picha chini ni post ya Dimitar Berbatov katika ukurasa wake maalum wa facebook.



Thursday, January 2, 2014

PICHA: MESSI ALIPOPANDA MLIMA KILIMANJARO

Kama ulikuwa hauna habari basi habari ndio hii mshambiliaji wa barcelona alie majeruhi sasa Messi alipanda hadi kwenye kilele cha mlima kilimanjaro hivi karibuni.



MSIMAMO WA LIGI YA UINGEREZA BAADA YA MECHI ZA JANA



SHEIKH SHARIF AKANA KUBADILI DINI

Habari zilizokuwa zikienezwa kuwa yule sheikh mdogo ambae alisilimisha wengi na kuonesha maajabu ya mungu kuwa amebadili dini zimetolewa ufafanuzi na Sheikh sharif mwenyewe na kusema ni za uzushi na hajui ni kwa nini zinaenezwa.
Akitumia mtandao wa facebook katika ukurasa wake alitanabaisha umma. Pamoja na kuuwasa juu ya uzushi huu.

Chini ni maneno aliyo yaweka hapo



Wednesday, January 1, 2014

WAZIRI WA FEDHA DR MGIMWA AFARIKI

Waziri wa Fedha Dr William Mgimwa aliekuwa akitibiwa Afrika ya kusini amefariki dunia leo hii.
Dr Mgimwa alizaliwa tarehe 20 mwezi wa kwanza mwaka 1952.


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU