Facebook Comments Box

Sunday, October 13, 2013

MTANGAZAJI WA ITV UFOO SARO APIGWA RISASI YA TUMBO

chani chini baadhi ya Wafanyakazi wenzake na Ufo Saro kutoka IPP pamoja waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakiwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ambako Ufo Saro ambaye mpaka sasa, yuko katika chumba cha upasuaji baada ya kupigwa risasi na mchumba wake Anteri Mushi usiku wa kuamkia leo ambapo pia alimpiga mama mzazi wa Ufo Saro Anastazia Peter Saro miaka 59 aliyefariki hapohapo na baadae kujipiga risasi mwenyewe na kufa hapohapo, Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko mbezi






MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA BAADA YA MECHI ZA JANA




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU