Facebook Comments Box

Saturday, August 3, 2013

SIMBA HAINA HAJA YA KUJUA KILICHOMO KWENYE MKATABA - MH ISMAIL ADEN RAGE


Hii ni kauli aliyoitoa mwenyekiti wa Simba Mh. Ismail Aden Rage awakati akizungumzia mkataba wa uuzwaji wa haki za matangazo ya TV ya mechi za Ligi kuu ya Tanzania, baina ya kamati ya ligi/TFF na Azam Media


SIMBA YAMSAJILI NAHODHA WA BURUNDI GILBERT KAZE ILI AWE BEKI WA KATI

Klabu ya Simba imekamilisha rasmi usajili wa beki wa kati Gilbert Kaze kutoka Vital O ya Burundi. Gilbert aka Demunga ni mmoja wa mabeki bora walionyesha kiwango kizuri hasa kwenye michuano ya Cecafa iliyopita. Amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Simba. Gilbert Kaze pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Burundi - na alikuwa mmoja wa wachezaji muhimu wa timu hiyo walioiwezesha Burundi kufuzu kucheza CHAN mwakani nchini South Africa.
SOURSE; SHAFFIH DAUDA



KIBONZO: KIPANYA AKIJIULIZA KAMA NCHI HATUWEZI KUUZA UNGA KUKUZA PATO LA SERIKALI




KIBONZO: HII SIO NJIA NZURI KUWAFUNZA WATOTO KUFUNGA

www.kitongoni.blogspot.com



MAWAIDHA: MUHAMMAD ISMAEL BAILE- BIDAA




YANGA YAMUONGEZA HAMISI FRIDAY KIIZA MKATABA WA MIAKA MIWILI

Young Africans Sports Club jana usiku imemuongezea mkataba wa miaka miwili mshambuliaji Hamis Friday Kiiza kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo.

Kiiza awali mkataba wake ulimalizika mwishoni mwa mwezi mei mwaka huu kabla ya jana kukutana na viongozi wa klabu ya Yanga na kukubaliana kuongeza mkataba huo.

Kiiza anakua ni mchezaji wa nne wa kimataifa atayeitumikia klabu ya Yanga akiwa pamoja na Didier Kavumbagu, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.
Ni Majemedari watatu wa Kamati ya Mashindano ya Yanga SC inayohusika pia na masuala ya usajili, Mwenyekiti Abdallah Bin Kleb na Wajumbe wake, Isaac Chanji na Mussa Katabaro wamemaliza kazi hiyo usiku huu.
Zoezi lilifanya katika eneo la bwawa la kuogelea kwenye hoteli ya Protea, Dar es Salaam na Kiiza Jumapili atavaa tena jezi ya Yanga kuichezea kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Taifa.  
Hamis Friday Kiiza "mabao"
 


PICHA: WASANII WALIVYO FUTURU NA RAIS KIKWETE


Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar, kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki yao
B12
Fetty
Dj Mully B

Jafarai na inspector Haroon
Qchief na Babu Tale 
Mwasiti, Fetty na Shilole
Chege, Nyandu Tozi na Madee
Kassim Mganga
Adama Mchomvu
Ben Pol (wa pili kutoka kulia)
Linex (wa kwanza kulia)
Looking good MashAllah, TID, Jafarai na Z Anto
Mzee mkorofi, Suma Lee
hahahaa Mbwiga nae hakukosa
Shekh AY na Ali Kiba
Marlow na Sam Misago
Feruz na Fela
Lamar na P Funk
Quick kama sio yeye loooool 
Hemedi Phd
Adama Juma
Dogo Asley
King Crazy GK
Shilole


 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU