Facebook Comments Box

Thursday, November 22, 2012

MLOPELO AFARIKI DUNIA

Yule muigizaji wa siku nyingi wa kaole sanaa group Mlopelo amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu
 




MKUTANO WA JUMUIYA YA MADAKTARI TANZANIA WAENDELEA KCMC MOSHI

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimeendelea na mkutano wake ambao unajadili Changamoto mpya na utatuzi wake katika afya. Chama hicho kiliweza kutoa huduma za upimaji jana kwa wananchi wa Kilimanjaro. Zaidi ya wananchi mia tatu walijitokeza na kupimwa afya zao. Mkutano huo unafanyika katika Hospitali ya KCMC na Chuo cha Kilimanjaro Christian Medical University College maarufu kama KCMC College hapa mkoani Kilimanjaro.

Baadhi ya banda la wadhamini wa mkutano huo

Hii ni sehemu ambayo washiriki wanajiandikisha




MTANZANIA APEWA MKATABA NA EA SPORTS KWA AJILI YA GAME ZA FIFA




ANGALIA KITUKO HIKI




 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU