Facebook Comments Box

Friday, November 2, 2012

TRENI YA DAR



ALI KIBA, DOGO ASLAY NA SAIDA KAROLI KUWANIA TUZO ZA HESHIMA ZA KORA 2012.



Baada ya miaka kadhaa kufanyika kwa tuzo za kora nchini South Africa,Nigeria na kisha Bukinafaso na hatimaye kusimama kwa muda kutokana na Post election Crisis iliy
otokea Ivory Coast, sasa tuzo hizi zimerudi tena na zitafanyika December 29 mwaka huu nchini Ivory coast.

ALI KIBA ametajwa kuwania kwenye kipengele cha 'Best male east afrika' kwa wimbo wa 'Single boy' aliomshirikisha Lady JayDee. Ali kiba atachuana na Jimmie gait ft Dk furi furi dance{Kenya}, Kidum ft sana mulika mwizi{Burundi}, Redsan-Ila wewe{Kenya},Chris D-Aisha{Burundi} na Malatu astatike{Ethiopia}.

DOGO ASLAY ametajwa kwenye kipengele cha 'Best male newcomer' na wimbo wa 'Niwe nawe' akipambana na Floby saanida{Burkina faso},Loyiso-Wrongo to u,Frique du sud, Aziz Azion-My oxyen{Uganda}, Davido Dami duro{Nigeria},John chit wapusuku{Zambia}.

SAIDA KAROLI anawania kipengele cha 'Best female East africa' kwa wimbo wa 'Sakina' ambapo anachuana na Juliana kanyomozi-Am gud ugandan,Marya shiki-Simu{Kenya},Helen berhelebe{Ethiopia},Asther aweke lu milli{Ethiopia} na Ikraam caraale gaarsiiya{Somalia}.



 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU